Picha juu: Mtume Maboya akiwa anafundisha Neno la Mungu
Waumini wakiwa wanamsikiliza Mtume Maboya wakati wa Semina hiyo
Picha Juu, Mtume Maboya akiwa anafanya maombezi kwa wagonjwa mbalimbali waliokuwa wamehudhuria semina hiyo.
Watu wakishangilia na kufurahia matendo na miujiza ambayo Mungu alitenda katika Semina hii
Katika semina hiyo iliyofanyika katika kanisa la Chemichemi za Uzima Area A, Dodoma, Watu waliokuwa wagonjwa wa moyo, na mapafu, waliokuwa na uzito uliopitiliza, waliokuwa wanaumwa meno, figo, na wengine wengi wenye magonjwa mbalimbali ikiwa ni pamoja na wenye vifafa na upungufu wa akili waliponywa papo kwa papo.
No comments:
Post a Comment