Chemichemi Za Uzima




MSTARI WA LEO

Muhubiri 7:14
Siku ya kufanikiwa ufurahi,
Na siku ya mabaya ufikiri.
Mungu ameifanya hiyo moja kwenda sambamba na hiyo ya pili,
ili mwanadamu asipate kulijua neno lolote litakalofuata baada yake.



Kwa maombi na maombezi au msaada wowote wa kiroho wasiliana nasi kwa;
Simu Namba: +255 756 066 011; +255 688 891 469; +255 752 184 464; au
Barua pepe: chemichemizauzima11@gmail.com; tulbundala@gmail.com

Bofya hapa kutembelea ukurasa wetu facebook na Ulike

Bofya hapa kututembelea youtube na uangalie video zetu za mafundisho ya Biblia na Ibada zetu

Thursday, 23 January 2014

Picha Za Matukio ya Semina ya Mtume Maboya Katika Kanisa la Chemichemi za Uzima Dodoma 2013





Picha juu: Mtume Maboya akiwa anafundisha Neno la Mungu

Waumini wakiwa wanamsikiliza Mtume Maboya wakati wa Semina hiyo













Picha Juu, Mtume Maboya akiwa anafanya maombezi kwa wagonjwa mbalimbali waliokuwa wamehudhuria semina hiyo.

Watu wakishangilia na kufurahia matendo na miujiza ambayo Mungu alitenda katika Semina hii


Katika semina hiyo iliyofanyika katika kanisa la Chemichemi za Uzima Area A, Dodoma, Watu waliokuwa wagonjwa wa moyo, na mapafu, waliokuwa na uzito uliopitiliza, waliokuwa wanaumwa meno, figo, na wengine wengi wenye magonjwa mbalimbali ikiwa ni pamoja na wenye vifafa na upungufu wa akili waliponywa papo kwa papo.


No comments:

Post a Comment


Tunakushukuru kuwa sehemu yetu!                                                                                                Mungu Akubariki Sana

Kwa maombi na maombezi au msaada wowote wa kiroho wasiliana nasi kwa;
Simu Namba: +255 756 066 011; +255 688 891 469; +255 752 184 464; au
Barua pepe: chemichemizauzima11@gmail.com; tulbundala@gmail.com