Chemichemi Za Uzima




MSTARI WA LEO

Muhubiri 7:14
Siku ya kufanikiwa ufurahi,
Na siku ya mabaya ufikiri.
Mungu ameifanya hiyo moja kwenda sambamba na hiyo ya pili,
ili mwanadamu asipate kulijua neno lolote litakalofuata baada yake.



Kwa maombi na maombezi au msaada wowote wa kiroho wasiliana nasi kwa;
Simu Namba: +255 756 066 011; +255 688 891 469; +255 752 184 464; au
Barua pepe: chemichemizauzima11@gmail.com; tulbundala@gmail.com

Bofya hapa kutembelea ukurasa wetu facebook na Ulike

Bofya hapa kututembelea youtube na uangalie video zetu za mafundisho ya Biblia na Ibada zetu

Wednesday, 22 January 2014

Mama aliyekuwa amepitiliza siku zake za kujifungua, ajifungua mara tu baada ya kuombewa

Mama huyu katika picha hii, akiwa mwenye furaha, anashuhudia matendo makuu ambayo Mungu amemtendea siku chache baada ya kujifungua.

Mama huyu alifika katika kanisa la Chemichemi za Uzima akiwa amepitiliza siku za kujifungua kwake. Ilikuwa kama miezi miwili hivi imepeta tangu tarehe ya kujifungua kwake itimie. Kwa maelezo yake alipokuwa amekuja kuhitaji msaada wa maombezi, alisema kuwa madaktari wamethibitisha kuwa siku za kujifungua kwake zimetimia na zimekwishazidi, na ya kuwa yeye mwenyewe hakuwa na dariri ya kujifungua. Ashukuriwe Mungu, mara tu baada ya maombi, siku ya tatu baada ya maombi mama huyu alijifungua mtoto wa kike, tena alijifungua salama. Jna la Bwana libarikiwe.

No comments:

Post a Comment


Tunakushukuru kuwa sehemu yetu!                                                                                                Mungu Akubariki Sana

Kwa maombi na maombezi au msaada wowote wa kiroho wasiliana nasi kwa;
Simu Namba: +255 756 066 011; +255 688 891 469; +255 752 184 464; au
Barua pepe: chemichemizauzima11@gmail.com; tulbundala@gmail.com